Posts

NAHISI NINA MIMBA YAKO

 Muda wote Henry alikua ni mtu mwenye furaha na anatabasamu lakini baada ya kupokea ujumbe mfupi kutoka kwa catty tabasamu likatoweka usoni.Basi Kwasababu ilikua ni chakula Cha pamoja kwa familia kulikua na stori nyingi za hapa na pale.     Humphrey hakuelewa kinachoendelea kwa rafiki yake Basi akawa anamtania tu  Humphrey: kwahiyo mwanangu Kama utani unachukua jiko, Henry: we si unataka uzeeke ngoja watu wazima tukuonyeshe njia ya kupita, Humphrey:Sema Nini mwanangu nahisi ntawahi kuoa, na tutaongea Kuna suala muhimu mno. Basi wakatawanyika kila mtu na safari yake, mzee Mkole, Henry pamoja na Humphrey walikua na safar ya kurudi Dar es salaam.wakati baba yake mdogo Henry yeye anaishi mbeya akifanya biashara zake na ni mtu aliefanikiwa katka biashara zake. Baada ya kuondoka pale walielekea kwa baba ake mdogo Henry ili walale siku hiyo kesho yake waanze safari.Baba ake mkubwa pamoja na shangazi ake Henry ambaye ni aunt Maya wao walisafiri usiku kwa gari yao kuelekea Ma...

NDOA YANGU

 'NDOA YANGU'           Kulikua na Hali ya hewa ya utulivu kukiwa na kiubaridi kiasi pamoja na mvua ndogo ndogo zinanyesha jijini mbeya majira ya mwezi wa tatu, soko matola ni miongoni mwa maeneo yanayopatikana katikati ya jiji Hilo kukiwa na watu changanyikeni yaani watu wa kabila na dini tofauti tofauti..lakini pia Kuna nyumba nyingi ambazo zilijengwa zamani yaani ni nyumba chakavu.Katikati ya nyumba hizo chakavu ndipo inapatikana nyumba ya mzee Patrick.Katika nyumba ya mzee Patrick kulikua na pilika pilika za hapa na pale maandalizi ya kupokea wageni wanaokuja kuoa katika familia ya mzee Patrick, ilikua ni familia ya kawaida tu ya mke mmoja na watoto wanne.Ikiwa na watoto wa kiume wawili na watoto wa kike wawili yaani  Nikki,Bora,Nissy na Shuku. mama Nikki:Mama fau nakuomba Basi ikifika mida ya saa Saba kila kitu kiwe kimemalizika. alisikika mama ake Nikki akimwambia mdogo wake ambaye alikuja kwaajili ya kumsaidia dada ake kufanya maandalizi ya kumw...